• English
  • Kiswahili
  • Wasiliana Nasi
  • e-Vibali
  • Barua Pepe
  • PEPMIS
  • Mrejesho
  • Ukubwa wa Maneno:  icon_a1.png icon_a3.png
Tanzania emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Muundo
    • Dira & Dhima
    • Maelezo Kuhusu Ofisi
  • Idara na vitengo
    • Idara
      • Sera na Mipango
      • Uwekezaji wa Sekta Binafsi
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Uwekezaji wa Sekta ya Umma
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Manunuzi na Ugavi
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ufuatiliaji na Tathmini
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
      • Mazingira ya Biashara
  • Sera & Sheria
    • Sheria
    • Sera
    • Miongozo
    • Kanuni
    • Mikakati
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Taarifa kwa Umma
    • Jarida
    • Takwimu
    • Hotuba
  • Miradi
    • miradi iliyokamilika
    • Miradi inayotekelezwa
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC)
    • Mamlaka ya Maeneo Maalum ya Uzalishaji kwa Mauzo ya Nje (EPZA)
  • Zabuni
    • Zabuni ya Ununuzi wa magari
  • Mazingira ya Biashara
    • Mpango wa Kuboresha Mazingira ya Biashara (MKUMBI)
  • Dira Ya Taifa Ya Maendeleo 2050
Mhe. Prof. Kitila Alexander Mkumbo
Mhe. Prof. Kitila Alexander Mkumbo
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji
Mhe. Stanslaus Haroon Nyongo
Mhe. Stanslaus Haroon Nyongo
Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji
Dkt. Tausi Mbaga Kida
Dkt. Tausi Mbaga Kida
Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji
Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

JUKWAA LA KIUCHUMI MKOANI ARUSHA

Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

JUKWAA LA KIUCHUMI MKOANI ARUSHA

Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji Mhe. Prof. Kitila Mkumbo (wa pili kutoka kulia) na Viongozi mbalimbali wameungana na Wafanyakazi kusherehekea Siku ya Wafanyakazi Duniani. Maadhimisho hayo yamefanyika kitaifa katika uwanja wa Bombadia, Mkoani Singida, na kuongozwa na Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

Mhe. Prof. Kitila Mkumbo, Waziri wa Nchi (OR-MU) akikabidhi zawadi kwa Naibu Waziri wa Biashara wa China Mhe. Tang Wenhong baada ya mkutano wa kujadili mikakati ya kuimarisha uchumi na maendeleo. Itakumbukwa kuwa, Tanzania inatarajiwa kuwa kitovu cha ushirikiano wa Sino-Afrika chini ya Mpango wa BRI.

Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

Picha ya pamoja ya Mhe. Prof. Kitila Mkumbo, Waziri wa Nchi (OR-MU) na Naibu Waziri wa Biashara wa China Mhe. Tang Wenhong na washiuriki wengine wa mkutano wa kujadili mikakati ya kuimarisha uchumi na maendeleo. Itakumbukwa kuwa, Tanzania inatarajiwa kuwa kitovu cha ushirikiano wa Sino-Afrika chini ya Mpango wa BRI.

Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

Mhe. Prof. Kitila Mkumbo, Waziri wa Nchi (OR-MU) akutana na kufanya mazungumzo na Naibu Waziri wa Biashara wa China Mhe. Tang Wenhong na kujadili mikakati ya kuimarisha uchumi na maendeleo. Itakumbukwa kuwa, Tanzania inatarajiwa kuwa kitovu cha ushirikiano wa Sino-Afrika chini ya Mpango wa BRI.

Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

Mhe. Prof. Kitila Mkumbo (Mb.), Waziri wa Nchi (OR-MU) akiteta jambo na Balozi wa Urusi nchini Tanzania Mhe. Andrey Avetisyan Aprili 27, 2025 Jijini Dar es Salaam. Pamoja na mambo mengine, walijadili kuhusu kuimarisha uhusiano baina ya mataifa yao hususani kwenye sekta ya Uwekezaji.

Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

WAZIRI WA NCHI, OFIS YA RAIS - MIPANGO NA UWEKEZAJI MHE. PROF. KITILA ALEXANDER MKUMBO AKIWASILISHA BUNGENI MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA OFISI YA RAIS, MIPANGO NA UWEKEZAJI KWA MWAKA 2025/26 LEO TAREHE 24 APRILI, 2025

Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

Waziri wa Nchi Mipango na Uwekezaji Mhe. Prof. Kitila Alexander Mkumbo (Mb.) akisalimiana na Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji Dkt. Tausi M. Kida mara baada ya wasilisho la Hobuba ya Bajeti tarehe 24 Aprili, 2025 Bungeni, Jijini Dodoma.

Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

Mhe. Prof. Kitila Alexander Mkumbo (Mb.), Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji (Katikati) katika picha na katibu Mkuu Dkt. Tausi M. Kida (Wa pili kutoka kulia), Bw. Gilead Teri Mkurugenzi Mtendaji wa TIC (Wa pili kutoka kushoto), Bw. Charles Itembe Mkurugenzi Mkuu EPZA (Wa kwanza kulia) na Dkt. Mursal Milanzi Mkurugenzi Tume ya Taifa ya Mipango (wa kwanza kulia) mara baada ya wasilisho la bajeti leo Aprili 24, 2025 Bungeni jijini Dodoma.

Previous Next

Habari Mpya

PROF. MKUMBO ASHIRIKI KIKAO MAALUMU CHA MAWAZIRI WA TANZANIA NA MALAWI KATIKA SEKTA ZA UCHUMI NA UCH...
PROF. MKUMBO ASHIRIKI KIKAO MAALUMU CHA MAWAZIRI WA TANZANIA NA MALAWI KATIKA SEKTA ZA UCHUMI NA UCH...
May 08, 2025
Waziri wa Nchi (OR-MU) Mhe. Prof. Kitila Mkumbo (Mb.), alishiriki Kikao maalumu cha Mawaziri wa Tanzania na Malawi wanaoshughulikia Sekta za Uchumi na...
PROF. MKUMBO: NCHI IMEPIGA HATUA KUBWA TANGU UHURU
PROF. MKUMBO: NCHI IMEPIGA HATUA KUBWA TANGU UHURU
May 05, 2025
Tanzania imepiga hatua kubwa za maendeleo tangu ilipopata Uhuru miongo sita iliyopita, ambapo kila awamu ya uongozi imetoa mchango wake mkubwa. Kauli...
MHE. PROF. MKUMBO AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA CANADA NCHINI TANZANIA MHE. EMILY BURNS
MHE. PROF. MKUMBO AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA CANADA NCHINI TANZANIA MHE. EMILY BURNS
Apr 25, 2025
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Mhe. Prof. Kitila Alexander Mkumbo (Mb.),  amekutana na Kufanya Mazungumzo na  Mhe. Emi...
PROF. MKUMBO ATAJA VIPAUMBELE 9 VYA OFISI YA RAIS, MIPANGO NA UWEKEZAJI
PROF. MKUMBO ATAJA VIPAUMBELE 9 VYA OFISI YA RAIS, MIPANGO NA UWEKEZAJI
Apr 24, 2025
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Mhe. Profesa Kitila Mkumbo (Mb.), amewasilisha bajeti ya Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji na t...
DKT. MPANGO AWATAKA WAWEKEZAJI KUTOA MAONI KUHUSU KODI
DKT. MPANGO AWATAKA WAWEKEZAJI KUTOA MAONI KUHUSU KODI
Apr 15, 2025
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango amesema Serikali ya Awamu ya Sita itaendelea kuboresha mazingira ya biashara...
Tazama Zote

Matangazo

HOTUBA YA BAJETI YA MWAKA 2025/26 - MHE. PROF. KITILA A...
Apr 24, 2025
MAPENDEKEZO YA SERIKALI YA MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA...
Mar 11, 2025
MAPENDEKEZO YA MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA WA 2025/26
Nov 11, 2024
MUHTASARI WA KIKAO CHA UFAFANUZI KWA AJILI YA UNUNUZI W...
Oct 03, 2024
SUPPLY AND DELIVERY OF ONE NEW 4WD STATION WAGON VEHICL...
Sep 19, 2024
UKATISHAJI WA UTARATIBU WA ZABUNI
Sep 18, 2024
TAARIFA YA HALI YA UCHUMI MWAKA 2023 NA MPANGO WA MAEND...
Jun 13, 2024
Hotuba ya Bajeti 2024/25
Apr 22, 2024
Tazama Zote

Nyaraka

  • Hotuba
    11
  • Zabuni ya Ununuzi wa Magari
    18
  • Sera
    0
  • Ripoti
    18
  • MIONGOZO
    1
pdf-128
24 Apr 2025

HOTUBA YA MHESHIMIWA PROF. KITILA ALEXANDER MKUMBO (MB.), AKIWASILISHA BUNGENI MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA OFISI YA RAIS, MIPANGO NA UWEKEZAJI KWA MWAKA 2025/26


Soma zaidi
pdf-128
07 Aug 2024

HOTUBA YA MHE. PROF. MKUMBO WAKATI WA KONGAMANO LA UWEKEZAJI NANENANE 2024


Soma zaidi
pdf-128
13 Jul 2024

THE SECOND HIGH-LEVEL CONFERENCE OF THE FORUM ON GLOBAL ACTION FOR SHARED DEVELOPMENT


Soma zaidi
pdf-128
13 Jun 2024

TAARIFA YA HALI YA UCHUMI KWA MWAKA 2023 NA MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA WA MWAKA 2024/25


Soma zaidi
Tazama Zote

Video

15th Jul, 2024
SERIKALI YAKUTANA NA WAZALISHAJI WA SUKARI NCHINI
30th Jun, 2024
SERIKALI KUWEKA MKAZO WA MAENDELEO VIJIJINI KUPITI...
06th Jun, 2024
PROF. MKUMBO AKITOA UFAFANUZI KUHUSU ZIARA YA MHE....
07th May, 2024
UZINDUZI WA KITUO CHA HUDUMA KWA WAWEKEZAJI
Tazama Zote

Taasisi chini ya Wizara

Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

Mamlaka ya Maeneo Maalum ya Uzalishaji kwa Mauzo ya Nje (EPZA)

Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

Ofisi ya Msajili wa Hazina

Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

Tume ya Mipango

Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC)

Mahali
Wasiliana Nasi
Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji
Mji wa Serikali-Mtumba 1 Barabara ya Ardhi, S.L.P. 104, 40403 DODOMA.
ps@planninginvestment.go.tz
+255 (026) 2962384
Kurasa za Karibu
  • Barua Pepe ya Wafanyakazi

  • Dira Ya Taifa Ya Maendeleo 2050

  • Habari

  • PEPMIS

  • Mwongozo wa Mawasiliano kwa Njia ya Video Serikalini

Tufuatilie
Tovuti Mashuhuri
  • Tovuti Kuu ya Serikali

  • Bunge la Tanzania

  • Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania (TPSF)

  • Shirikisho la Wenye Viwanda Tanzania (CTI)

  • Wizara ya Viwanda na Biashara

  • OR-MUUUB

  • PO-RALG

  • Ramani ya Tovuti
  • Sera ya Faragha
  • Vigezo & Masharti
  • Hakimiliki
  • Kanusho
  • Imesanifiwa na Imetengenezwa na Mamlaka ya Serikali Mtandao na Inaendeshwa na WHMTH
    © 2025 Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji, Haki zote zimehifadhiwa.