• English
  • Kiswahili
  • Wasiliana Nasi
  • e-Vibali
  • Barua Pepe
  • PEPMIS
  • Mrejesho
  • Ukubwa wa Maneno:  icon_a1.png icon_a3.png
Tanzania emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Muundo
    • Dira & Dhima
    • Maelezo Kuhusu Ofisi
  • Idara na vitengo
    • Idara
      • Sera na Mipango
      • Uwekezaji wa Sekta Binafsi
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Uwekezaji wa Sekta ya Umma
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Manunuzi na Ugavi
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ufuatiliaji na Tathmini
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
      • Mazingira ya Biashara
  • Sera & Sheria
    • Sheria
    • Sera
    • Miongozo
    • Kanuni
    • Mikakati
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Taarifa kwa Umma
    • Jarida
    • Takwimu
    • Hotuba
  • Miradi
    • miradi iliyokamilika
    • Miradi inayotekelezwa
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mamlaka ya Uwekezaji na Maeneo Maalumu ya Kiuchumi Tanzania (TISEZA)
  • Zabuni
    • Zabuni ya Ununuzi wa magari
  • Mazingira ya Biashara
    • Mpango wa Kuboresha Mazingira ya Biashara (MKUMBI)
  • Dodoso MKUMBI II
Mhe. Prof. Kitila Alexander Mkumbo
Mhe. Prof. Kitila Alexander Mkumbo
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji
Mhe. Dkt. Pius Stephen Chaya
Mhe. Dkt. Pius Stephen Chaya
Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji
Dkt. Tausi Mbaga Kida
Dkt. Tausi Mbaga Kida
Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji
Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

Katibu Mkuu wa Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji Dkt. Tausi M. Kida akikabidhi taarifa za utendaji wa Ofisi kwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji Mheshimiwa Prof. Kitila Mkumbo (Mb,) mara baada ya Uapisho wa Mawaziri uliofanyika Ikulu Chamwino, Dodoma leo tarehe 18 Novemba. 2025.

Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji Mheshimiwa Prof. Kitila Mkumbo (Mb,) katika picha na Naibu Waziri Mheshimiwa Dkt. Pius Stephen Chaya (Mb.), Katibu Mkuu Dkt. Tausi M. Kida, Viongozi wa Tume ya Taifa ya Mipango, Wakuu wa Idara na Vitengo pamoja na watumishi wa Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji mara baada ya kuapishwa Ikulu ya Chamwino, Dodoma.

Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji Mheshimiwa Prof. Kitila Mkumbo (Mb,) katika picha na Naibu Waziri Mheshimiwa Dkt. Pius Stephen Chaya (Mb.), Katibu Mkuu Dkt. Tausi M. Kida, Viongozi wa Tume ya Taifa ya Mipango na Wakuu wa Idara na Vitengo wa Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji.

Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji Mheshimiwa Prof. Kitila Mkumbo (Mb,) katika picha na Naibu Waziri Mheshimiwa Dkt. Pius Stephen Chaya (Mb.) na Katibu Mkuu Dkt. Tausi M. Kida mara baada ya kupokelewa na watumishi wa Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji.

Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

Waziri wa Nchi,Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji Mheshimiwa Prof. Kitila A. Mkumbo (Mb,) akikaribishwa kwa furaha na watumishi wa Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji mara baada ya kuapishwa mapema leo Ikulu ya Chamwino, Dodoma. wanaoshuhudia ni Mheshimiwa Dkt. Pius Stephen Chaya Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji na Katibu Mkuu Dkt. Tausi Kida.

Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji Mheshimiwa Dkt. Pius Stephen Chaya akikaribishwa kwa furaha na watumishi wa Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji mara baada ya kuapishwa mapema leo Ikulu Chamwino, Dodoma.

Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji Mheshimiwa Dkt. Pius Stephen Chaya akikaribishwa kwa furaha na watumishi wa Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji mara baada ya kuapishwa mapema leo Ikulu Chamwino, Dodoma.

Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

Mheshimiwa Prof. Kitila A. Mkumbo (Mb), akila kiapo kuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan leo tarehe 18 Novemba, 2025 Ikulu, Chamwino, Dodoma.

Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

Mheshimiwa Dkt. Pius Stephen Chaya (Mb.) akiapa kuwa Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan leo tarehe 18 Novemba, 2025 katika hafla iliyofanyika Ikulu, Chamwino, Dodoma.

Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, katika picha na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Mussa Azzan Zungu na Jaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania Mheshimiwa George Masaju mara baada ya kuhutubia Bunge la 13 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa lengo la kulifungua rasmi tarehe 14 Novemba, 2025.

Previous Next

Habari Mpya

UWEKEZAJI KATIKA HATUA MPYA: TISEZA YAASISIWA KUFUATIA MABADILIKO YA KISHERIA
UWEKEZAJI KATIKA HATUA MPYA: TISEZA YAASISIWA KUFUATIA MABADILIKO YA KISHERIA
Oct 20, 2025
Mwezi Julai, 2025 utaweka katika kumbkumbu za historia ya mapinduzi ya kimuundo katika sekta ya uwekezaji nchini Tanzania, hii inafuatia kuanza kutumi...
MRADI WA LIGANGA NA MCHUCHUMA MBIONI KUANZA
MRADI WA LIGANGA NA MCHUCHUMA MBIONI KUANZA
Sep 25, 2025
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji Mhe. Prof. Kitila Mkumbo amesema kuwa Serikali inakaribia kukamirisha mazungumzo na muwekezaji ili...
DKT. KIDA AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA MKURUGENZI WA MAENDELEO WA OFISI YA UBALOZI WA UINGEREZA...
DKT. KIDA AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA MKURUGENZI WA MAENDELEO WA OFISI YA UBALOZI WA UINGEREZA...
Sep 04, 2025
Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Dkt. Tausi Kida alikutana na kufanya mazungumzo na Bi. Anna Wilson, Mkurugenzi wa Maendeleo wa Ofisi...
TIMU YA OFISI YA RAIS, MIPANGO NA UWEKEZAJI YAIBUKA KIDEDEA KATIKA MICHEZO YA SHIMIWI 2025
TIMU YA OFISI YA RAIS, MIPANGO NA UWEKEZAJI YAIBUKA KIDEDEA KATIKA MICHEZO YA SHIMIWI 2025
Sep 04, 2025
Timu ya Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji leo tarehe 2 Septemba, 2025 imeibuka kidedea katika mchezo wa Kamba (ME) kwa kuwafunga RAS Pwani kwa mivut...
MHE. NYONGO AWASISITIZA WENYEVITI NA WATENDAJI WAKUU WA MASHIRIKA KUSIMAMIA MAGEUZI KATIKA KUCHOCHEA...
MHE. NYONGO AWASISITIZA WENYEVITI NA WATENDAJI WAKUU WA MASHIRIKA KUSIMAMIA MAGEUZI KATIKA KUCHOCHEA...
Sep 04, 2025
Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji Mhe. Stanslaus Nyongo amewasisitiza wenyeviti na Watendaji Wakuu wa Taasisi kuendelea kusima...
Tazama Zote

Matangazo

MHE. PROF. KITILA ALEXANDER MKUMBO (MB.), AKIWASILISHA...
Jun 12, 2025
HOTUBA YA BAJETI YA MWAKA 2025/26 - MHE. PROF. KITILA A...
Apr 24, 2025
MAPENDEKEZO YA SERIKALI YA MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA...
Mar 11, 2025
MAPENDEKEZO YA MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA WA 2025/26
Nov 11, 2024
MUHTASARI WA KIKAO CHA UFAFANUZI KWA AJILI YA UNUNUZI W...
Oct 03, 2024
SUPPLY AND DELIVERY OF ONE NEW 4WD STATION WAGON VEHICL...
Sep 19, 2024
UKATISHAJI WA UTARATIBU WA ZABUNI
Sep 18, 2024
TAARIFA YA HALI YA UCHUMI MWAKA 2023 NA MPANGO WA MAEND...
Jun 13, 2024
Tazama Zote

Nyaraka

  • Hotuba
    14
  • Zabuni ya Ununuzi wa Magari
    18
  • Sera
    0
  • Ripoti
    20
  • MIONGOZO
    1
pdf-128
15 Nov 2025

HOTUBA YA RAIS MHE. DKT SAMIA SULUHU HASSAN AKIFUNGUA BUNGE LA 13


Soma zaidi
pdf-128
24 Jun 2025

MAELEZO YA MHE. PROF. MKUMBO AKIHITIMISHA MJADALA WA TAARIFA YA HALI YA UCHUMI WA TAIFA NA MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA 2025/26


Soma zaidi
pdf-128
12 Jun 2025

MHESH. PROF. KITILA ALEXANDER MKUMBO (MB.), AKIWASILISHA BUNGENI TAARIFA YA HALI YA UCHUMI KWA MWAKA 2024 NA MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA WA MWAKA 2025/26


Soma zaidi
pdf-128
24 Apr 2025

HOTUBA YA MHESHIMIWA PROF. KITILA ALEXANDER MKUMBO (MB.), AKIWASILISHA BUNGENI MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA OFISI YA RAIS, MIPANGO NA UWEKEZAJI KWA MWAKA 2025/26


Soma zaidi
Tazama Zote

Video

15th Jul, 2024
SERIKALI YAKUTANA NA WAZALISHAJI WA SUKARI NCHINI
30th Jun, 2024
SERIKALI KUWEKA MKAZO WA MAENDELEO VIJIJINI KUPITI...
06th Jun, 2024
PROF. MKUMBO AKITOA UFAFANUZI KUHUSU ZIARA YA MHE....
07th May, 2024
UZINDUZI WA KITUO CHA HUDUMA KWA WAWEKEZAJI
Tazama Zote

Taasisi chini ya Wizara

Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

Ofisi ya Msajili wa Hazina

Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

Tume ya Taifa ya Mipango

Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

Mamlaka ya Uwekezaji na Maeneo Maalumu ya Kiuchumi Tanzania (TISEZA)

Mahali
Wasiliana Nasi
Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji
Mji wa Serikali-Mtumba 1 Barabara ya Ardhi, S.L.P. 104, 40403 DODOMA.
ps@planninginvestment.go.tz
+255 (026) 2962384
Kurasa za Karibu
  • Barua Pepe ya Wafanyakazi

  • Dodoso MKUMBI II

  • Habari

  • PEPMIS

  • Mwongozo wa Mawasiliano kwa Njia ya Video Serikalini

Tufuatilie
Tovuti Mashuhuri
  • Tovuti Kuu ya Serikali

  • Bunge la Tanzania

  • Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania (TPSF)

  • Shirikisho la Wenye Viwanda Tanzania (CTI)

  • Wizara ya Viwanda na Biashara

  • OR-MUUUB

  • PO-RALG

  • Ramani ya Tovuti
  • Sera ya Faragha
  • Vigezo & Masharti
  • Hakimiliki
  • Kanusho
  • Imesanifiwa na Imetengenezwa na Mamlaka ya Serikali Mtandao na Inaendeshwa na WHMTH
    © 2025 Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji, Haki zote zimehifadhiwa.