• English
  • Kiswahili
  • Wasiliana Nasi
  • e-Vibali
  • Barua Pepe
  • PEPMIS
  • Mrejesho
  • Ukubwa wa Maneno:  icon_a1.png icon_a3.png
Tanzania emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Muundo
    • Dira & Dhima
    • Maelezo Kuhusu Ofisi
  • Idara na vitengo
    • Idara
      • Sera na Mipango
      • Uwekezaji wa Sekta Binafsi
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Uwekezaji wa Sekta ya Umma
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Manunuzi na Ugavi
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ufuatiliaji na Tathmini
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
      • Mazingira ya Biashara
  • Sera & Sheria
    • Sheria
    • Sera
    • Miongozo
    • Kanuni
    • Mikakati
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Taarifa kwa Umma
    • Jarida
    • Takwimu
    • Hotuba
  • Miradi
    • miradi iliyokamilika
    • Miradi inayotekelezwa
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mamlaka ya Uwekezaji na Maeneo Maalumu ya Kiuchumi Tanzania (TISEZA)
  • Zabuni
    • Zabuni ya Ununuzi wa magari
  • Mazingira ya Biashara
    • Mpango wa Kuboresha Mazingira ya Biashara (MKUMBI)
  • Dodoso MKUMBI II
Mhe. Prof. Kitila Alexander Mkumbo
Mhe. Prof. Kitila Alexander Mkumbo
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji
Mhe. Stanslaus Haroon Nyongo
Mhe. Stanslaus Haroon Nyongo
Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji
Dkt. Tausi Mbaga Kida
Dkt. Tausi Mbaga Kida
Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji
Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji Mheshimiwa Prof. Kitila Mkumbo pamoja na Msajili wa Hazina Bw. Nehemia Mchechu wakikabidhi zawadi kwa Makamu wa Rais, wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango ikiwa ni kutambua mchango wake wa kiutendaji katika kuboresha utendaji kazi wa mashirika ya Umma mara baada ya kufungua kikao kazi cha Wenyeviti wa Bodi na Watendaji Wakuu wa Taasisi za Umma (CEOs FORUM 2025) AICC - Arusha.

Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

Makamu wa Rais, wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango, aziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji Mheshimiwa Prof. Kitila Mkumbo, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. George Simbachawene, Msajili wa Hazina Bw. Nehemia Mchechu pamoja na viongozi mbalimbali wakiimba wimbo wa taifa kabla ya ufunguzi wa kikao kazi cha Wenyeviti wa Bodi na Watendaji Wakuu wa Taasisi za Umma (CEOs FORUM 2025) katika ukumbi wa AICC - Arusha.

Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji Prof. Kitila Mkumbo katika picha na Katibu Mkuu Dkt. Tausi Kida, Mwenyekiti wa bodi ya TISEZA Mheshimiwa Balozi Aziz Ponary Mlima, Mkurugenzi Mkuu wa TISEZA, Bw. Giread Teri na Mkuu wa Wilaya ya Kahama Mheshimiwa Frank Nkinda wakati wa uzinduzi rasmi wa Maeneo Maalum ya Kiuchumi (SEZs) uliofanyika jijini Dar es Salaam, ikiwa na lengo la kuvutia uwekezaji mkubwa wa viwanda na kuifanya Tanzania kuwa kitovu cha biashara na uwekezaji barani Afrika

Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji Mheshimiwa Prof. Kitila Mkumbo, akiwa katika picha ya pamoja na Katibu Mkuu Dkt. Tausi Kida na Mkuu wa Wilaya ya Ubungo, Mhesimiwa Albert Msando baada ya Mheshiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kufungua Kituo cha Biashara na Usafirishaji Afrika Mashari (EACLC) kilichojengwa kwenye eneo ilipokuwa Standa ya Mabasi Ubungo.

Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akihutubia wananchi mara baada ya kufungua Kituo cha Biashara na Usafirishaji Afrika Mashariki (EACLC) kilichopo Ubungo Jijini Dar es Salaam tarehe 01 Agosti, 2025. Ujenzi wa huo ulisajiliwa na Mamlaka ya Uwekezaji na Maeneo Maalumu ya Kiuchumi Tanzania (TISEZA) wakati huo Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC).

Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

Katibu Mkuu Dkt. Taus Kida katika picha na Mkurugenzi Mtendaji wa Gatsby Africa - Tanzania, Bw. Samweli Kilua walipokutana kwa mazungumzo ya kuimarisha ushirikiano katika kubuni, kujengeana uwezo, na kutekeleza mipango mbalimbali ya maendeleo ya kitaifa.

Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa na Tuzo ya heshima na shukrani aliyokabidhiwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji Mhe. Profesa Kitila Alexander Mkumbo kwenye hafla ya uzinduzi wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 katika ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete (JKCC) Jijini Dodoma tarehe 17 Julai, 2025.

Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa pamoja na viongozi mbalimbali kwenye hafla ya uzinduzi wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 iliyofanyika katika ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete (JKCC) Jijini Dodoma tarehe 17 Julai, 2025.

Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

Viongozi wa Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji wakiongozwa na Mheshimiwa Prof. Kitila Alexander Mkumbo, Katibu Mkuu Dkt. Tausi Kida na Dkt. Fred Msemwa Katibu Mtendaji wa Tume ya Mipango, Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rose Senyamule wameungana na Mheshimiwa Dkt. Asharose Migilo kumpokea Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wakati akiwasili katika Ukumbi wa Jakaya Kikwete kuzindua Dira 2050.

Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

Viongozi wa Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji wakiongozwa na Mheshimiwa Prof. Kitila Alexander Mkumbo, Katibu Mkuu Dkt. Tausi Kida na Dkt. Fred Msemwa Katibu Mtendaji wa Tume ya Mipango, Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rose Senyamule wameungana na Mheshimiwa Dkt. Asharose Migilo kumpokea Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wakati akiwasili katika Ukumbi wa Jakaya Kikwete kuzindua Dira 2050.

Previous Next

Habari Mpya

TISEZA YAZINDUA MAENEO MAALUM YA KIUCHUMI
TISEZA YAZINDUA MAENEO MAALUM YA KIUCHUMI
Aug 13, 2025
Mamlaka ya Uwekezaji na Maeneo Maalum ya Kiuchumi Tanzania (TISEZA) imezindua rasmi Maeneo Maalum ya Kiuchumi (SEZs) leo, tarehe 12 Agosti 2025 jijini...
OFISI YA RAIS, MIPANGO NA UWEKEZAJI NA GATSBY AFRICA WAJADILI KUIMARISHA USHIRIKIANO
OFISI YA RAIS, MIPANGO NA UWEKEZAJI NA GATSBY AFRICA WAJADILI KUIMARISHA USHIRIKIANO
Aug 06, 2025
Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Dkt. Tausi Kida, leo amekutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi Mtendaji wa Gatsby Africa-Tanzania...
RAIS SAMIA AWEKA REKODI KURATIBU UANDISHI WA DIRA ISIYOKUWA NA ITIKADI ZA KISIASA
RAIS SAMIA AWEKA REKODI KURATIBU UANDISHI WA DIRA ISIYOKUWA NA ITIKADI ZA KISIASA
Jul 18, 2025
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji Mhe. Prof. Kitila Mkumbo amebainisha kuwa Rais wa awamu wa sita wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...
PROF. MKUMBO AIPONGEZA DSE NA NMB KWA KUJA NA MFUMO WA HISA KIGANJANI
PROF. MKUMBO AIPONGEZA DSE NA NMB KWA KUJA NA MFUMO WA HISA KIGANJANI
Jul 11, 2025
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Mhe. Prof. Kitila Mkumbo ameipongeza Benki ya NMB kwa kushirikiana na Soko la Hisa la Dar es Sala...
DIRA 2050 KUZINDULIWA TAREHE 17 JULAI, 2025 - PROF. MKUMBO
DIRA 2050 KUZINDULIWA TAREHE 17 JULAI, 2025 - PROF. MKUMBO
Jul 10, 2025
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imetangaza kukamilika kwa maandalizi ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050, baada ya mchakato wa zaidi ya mia...
Tazama Zote

Matangazo

MHE. PROF. KITILA ALEXANDER MKUMBO (MB.), AKIWASILISHA...
Jun 12, 2025
HOTUBA YA BAJETI YA MWAKA 2025/26 - MHE. PROF. KITILA A...
Apr 24, 2025
MAPENDEKEZO YA SERIKALI YA MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA...
Mar 11, 2025
MAPENDEKEZO YA MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA WA 2025/26
Nov 11, 2024
MUHTASARI WA KIKAO CHA UFAFANUZI KWA AJILI YA UNUNUZI W...
Oct 03, 2024
SUPPLY AND DELIVERY OF ONE NEW 4WD STATION WAGON VEHICL...
Sep 19, 2024
UKATISHAJI WA UTARATIBU WA ZABUNI
Sep 18, 2024
TAARIFA YA HALI YA UCHUMI MWAKA 2023 NA MPANGO WA MAEND...
Jun 13, 2024
Tazama Zote

Nyaraka

  • Hotuba
    13
  • Zabuni ya Ununuzi wa Magari
    18
  • Sera
    0
  • Ripoti
    20
  • MIONGOZO
    1
pdf-128
24 Jun 2025

MAELEZO YA MHE. PROF. MKUMBO AKIHITIMISHA MJADALA WA TAARIFA YA HALI YA UCHUMI WA TAIFA NA MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA 2025/26


Soma zaidi
pdf-128
12 Jun 2025

MHESH. PROF. KITILA ALEXANDER MKUMBO (MB.), AKIWASILISHA BUNGENI TAARIFA YA HALI YA UCHUMI KWA MWAKA 2024 NA MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA WA MWAKA 2025/26


Soma zaidi
pdf-128
24 Apr 2025

HOTUBA YA MHESHIMIWA PROF. KITILA ALEXANDER MKUMBO (MB.), AKIWASILISHA BUNGENI MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA OFISI YA RAIS, MIPANGO NA UWEKEZAJI KWA MWAKA 2025/26


Soma zaidi
pdf-128
07 Aug 2024

HOTUBA YA MHE. PROF. MKUMBO WAKATI WA KONGAMANO LA UWEKEZAJI NANENANE 2024


Soma zaidi
Tazama Zote

Video

15th Jul, 2024
SERIKALI YAKUTANA NA WAZALISHAJI WA SUKARI NCHINI
30th Jun, 2024
SERIKALI KUWEKA MKAZO WA MAENDELEO VIJIJINI KUPITI...
06th Jun, 2024
PROF. MKUMBO AKITOA UFAFANUZI KUHUSU ZIARA YA MHE....
07th May, 2024
UZINDUZI WA KITUO CHA HUDUMA KWA WAWEKEZAJI
Tazama Zote

Taasisi chini ya Wizara

Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

Ofisi ya Msajili wa Hazina

Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

Tume ya Taifa ya Mipango

Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

Mamlaka ya Uwekezaji na Maeneo Maalumu ya Kiuchumi Tanzania (TISEZA)

Mahali
Wasiliana Nasi
Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji
Mji wa Serikali-Mtumba 1 Barabara ya Ardhi, S.L.P. 104, 40403 DODOMA.
ps@planninginvestment.go.tz
+255 (026) 2962384
Kurasa za Karibu
  • Barua Pepe ya Wafanyakazi

  • Dodoso MKUMBI II

  • Habari

  • PEPMIS

  • Mwongozo wa Mawasiliano kwa Njia ya Video Serikalini

Tufuatilie
Tovuti Mashuhuri
  • Tovuti Kuu ya Serikali

  • Bunge la Tanzania

  • Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania (TPSF)

  • Shirikisho la Wenye Viwanda Tanzania (CTI)

  • Wizara ya Viwanda na Biashara

  • OR-MUUUB

  • PO-RALG

  • Ramani ya Tovuti
  • Sera ya Faragha
  • Vigezo & Masharti
  • Hakimiliki
  • Kanusho
  • Imesanifiwa na Imetengenezwa na Mamlaka ya Serikali Mtandao na Inaendeshwa na WHMTH
    © 2025 Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji, Haki zote zimehifadhiwa.