• English
  • Kiswahili
  • Wasiliana Nasi
  • e-Vibali
  • Barua Pepe
  • PEPMIS
  • Mrejesho
  • Ukubwa wa Maneno:  icon_a1.png icon_a3.png
Tanzania emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Muundo
    • Dira & Dhima
    • Maelezo Kuhusu Ofisi
  • Idara na vitengo
    • Idara
      • Sera na Mipango
      • Uwekezaji wa Sekta Binafsi
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Uwekezaji wa Sekta ya Umma
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Manunuzi na Ugavi
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ufuatiliaji na Tathmini
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
      • Mazingira ya Biashara
  • Sera & Sheria
    • Sheria
    • Sera
    • Miongozo
    • Kanuni
    • Mikakati
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Taarifa kwa Umma
    • Jarida
    • Takwimu
    • Hotuba
  • Miradi
    • miradi iliyokamilika
    • Miradi inayotekelezwa
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mamlaka ya Uwekezaji na Maeneo Maalumu ya Kiuchumi Tanzania (TISEZA)
  • Zabuni
    • Zabuni ya Ununuzi wa magari
  • Mazingira ya Biashara
    • Mpango wa Kuboresha Mazingira ya Biashara (MKUMBI)
  • Dodoso MKUMBI II
Mhe. Prof. Kitila Alexander Mkumbo
Mhe. Prof. Kitila Alexander Mkumbo
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji
Mhe. Stanslaus Haroon Nyongo
Mhe. Stanslaus Haroon Nyongo
Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji
Dkt. Tausi Mbaga Kida
Dkt. Tausi Mbaga Kida
Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji
Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji Prof. Kitila Mkumbo akizungumza kuhusu maendeleo ya maandalizi ya utekelezaji wa Dira 2050 iliyozinduliwa na Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania tarehe 17 Julai, 2025 wakati wa mkutano na Wahariri wa vyombo vya habari.

Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji Dkt. Tausi Kida akizungumza kuhusu maendeleo ya maandalizi ya utekelezaji wa Dira 2050 iliyozinduliwa na Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania tarehe 17 Julai, 2025 wakati wa kikao cha Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji na Wahariri wa vyombo vya habari.

Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

Timu ya Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji mchezo wa Kamba (ME) wamepata ushindi mnono dhidi ya RAS Pwani kwa kushinda mivuto miwili kwa sifuri katika mashindano ya SHIMIWI 2025 yanayofanyika Mkoani Mwanza.

Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

Timu ya Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji mchezo wa Kamba (KE) wamepata ushindi mnono dhidi ya UCSAF kwa kushinda mivuto miwili kwa sifuri katika mashindano ya SHIMIWI 2025 yanayofanyika Mkoani Mwanza.

Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

Timu ya Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji inayoshiriki mchezo wa Mpira wa Miguu katika mashindano ya SHIMIWI 2025 yanayofanyika Mkoani Mwanza.

Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

Timu ya Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji inayoshiriki mchezo wa Mpira wa pete katika mashindano ya SHIMIWI 2025 yanayofanyika Mkoani Mwanza.

Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

Timu ya Kitaifa ya Wataalamu (National Technical Team - NTT) inayoandaa Mpango wa Pili wa Maboresho ya Mazingira ya Biashara na Uwekezaji (MKUMBI II) imekutana na Mkuu wa Ushirikiano wa Umoja wa Ulaya, Bw. Marc Stalmans, pamoja na Meneja wa Programu, Bw. Sebastian Schaber, walipofanya kikao na timu hiyo ambayo inaendelea na kukusanya maoni kutoka kwa wadau wa Sekta za Umma na Binafsi.

Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji Mheshimiwa Prof. Kitila Mkumbo pamoja na Msajili wa Hazina Bw. Nehemia Mchechu wakikabidhi zawadi kwa Makamu wa Rais, wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango ikiwa ni kutambua mchango wake wa kiutendaji katika kuboresha utendaji kazi wa mashirika ya Umma mara baada ya kufungua kikao kazi cha Wenyeviti wa Bodi na Watendaji Wakuu wa Taasisi za Umma (CEOs FORUM 2025) AICC - Arusha.

Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

Makamu wa Rais, wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango, aziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji Mheshimiwa Prof. Kitila Mkumbo, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. George Simbachawene, Msajili wa Hazina Bw. Nehemia Mchechu pamoja na viongozi mbalimbali wakiimba wimbo wa taifa kabla ya ufunguzi wa kikao kazi cha Wenyeviti wa Bodi na Watendaji Wakuu wa Taasisi za Umma (CEOs FORUM 2025) katika ukumbi wa AICC - Arusha.

Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji Prof. Kitila Mkumbo katika picha na Katibu Mkuu Dkt. Tausi Kida, Mwenyekiti wa bodi ya TISEZA Mheshimiwa Balozi Aziz Ponary Mlima, Mkurugenzi Mkuu wa TISEZA, Bw. Giread Teri na Mkuu wa Wilaya ya Kahama Mheshimiwa Frank Nkinda wakati wa uzinduzi rasmi wa Maeneo Maalum ya Kiuchumi (SEZs) uliofanyika jijini Dar es Salaam, ikiwa na lengo la kuvutia uwekezaji mkubwa wa viwanda na kuifanya Tanzania kuwa kitovu cha biashara na uwekezaji barani Afrika

Previous Next

Habari Mpya

MRADI WA LIGANGA NA MCHUCHUMA MBIONI KUANZA
MRADI WA LIGANGA NA MCHUCHUMA MBIONI KUANZA
Sep 25, 2025
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji Mhe. Prof. Kitila Mkumbo amesema kuwa Serikali inakaribia kukamirisha mazungumzo na muwekezaji ili...
DKT. KIDA AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA MKURUGENZI WA MAENDELEO WA OFISI YA UBALOZI WA UINGEREZA...
DKT. KIDA AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA MKURUGENZI WA MAENDELEO WA OFISI YA UBALOZI WA UINGEREZA...
Sep 04, 2025
Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Dkt. Tausi Kida alikutana na kufanya mazungumzo na Bi. Anna Wilson, Mkurugenzi wa Maendeleo wa Ofisi...
TIMU YA OFISI YA RAIS, MIPANGO NA UWEKEZAJI YAIBUKA KIDEDEA KATIKA MICHEZO YA SHIMIWI 2025
TIMU YA OFISI YA RAIS, MIPANGO NA UWEKEZAJI YAIBUKA KIDEDEA KATIKA MICHEZO YA SHIMIWI 2025
Sep 04, 2025
Timu ya Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji leo tarehe 2 Septemba, 2025 imeibuka kidedea katika mchezo wa Kamba (ME) kwa kuwafunga RAS Pwani kwa mivut...
MHE. NYONGO AWASISITIZA WENYEVITI NA WATENDAJI WAKUU WA MASHIRIKA KUSIMAMIA MAGEUZI KATIKA KUCHOCHEA...
MHE. NYONGO AWASISITIZA WENYEVITI NA WATENDAJI WAKUU WA MASHIRIKA KUSIMAMIA MAGEUZI KATIKA KUCHOCHEA...
Sep 04, 2025
Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji Mhe. Stanslaus Nyongo amewasisitiza wenyeviti na Watendaji Wakuu wa Taasisi kuendelea kusima...
TISEZA YAZINDUA MAENEO MAALUM YA KIUCHUMI
TISEZA YAZINDUA MAENEO MAALUM YA KIUCHUMI
Aug 13, 2025
Mamlaka ya Uwekezaji na Maeneo Maalum ya Kiuchumi Tanzania (TISEZA) imezindua rasmi Maeneo Maalum ya Kiuchumi (SEZs) leo, tarehe 12 Agosti 2025 jijini...
Tazama Zote

Matangazo

MHE. PROF. KITILA ALEXANDER MKUMBO (MB.), AKIWASILISHA...
Jun 12, 2025
HOTUBA YA BAJETI YA MWAKA 2025/26 - MHE. PROF. KITILA A...
Apr 24, 2025
MAPENDEKEZO YA SERIKALI YA MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA...
Mar 11, 2025
MAPENDEKEZO YA MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA WA 2025/26
Nov 11, 2024
MUHTASARI WA KIKAO CHA UFAFANUZI KWA AJILI YA UNUNUZI W...
Oct 03, 2024
SUPPLY AND DELIVERY OF ONE NEW 4WD STATION WAGON VEHICL...
Sep 19, 2024
UKATISHAJI WA UTARATIBU WA ZABUNI
Sep 18, 2024
TAARIFA YA HALI YA UCHUMI MWAKA 2023 NA MPANGO WA MAEND...
Jun 13, 2024
Tazama Zote

Nyaraka

  • Hotuba
    13
  • Zabuni ya Ununuzi wa Magari
    18
  • Sera
    0
  • Ripoti
    20
  • MIONGOZO
    1
pdf-128
24 Jun 2025

MAELEZO YA MHE. PROF. MKUMBO AKIHITIMISHA MJADALA WA TAARIFA YA HALI YA UCHUMI WA TAIFA NA MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA 2025/26


Soma zaidi
pdf-128
12 Jun 2025

MHESH. PROF. KITILA ALEXANDER MKUMBO (MB.), AKIWASILISHA BUNGENI TAARIFA YA HALI YA UCHUMI KWA MWAKA 2024 NA MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA WA MWAKA 2025/26


Soma zaidi
pdf-128
24 Apr 2025

HOTUBA YA MHESHIMIWA PROF. KITILA ALEXANDER MKUMBO (MB.), AKIWASILISHA BUNGENI MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA OFISI YA RAIS, MIPANGO NA UWEKEZAJI KWA MWAKA 2025/26


Soma zaidi
pdf-128
07 Aug 2024

HOTUBA YA MHE. PROF. MKUMBO WAKATI WA KONGAMANO LA UWEKEZAJI NANENANE 2024


Soma zaidi
Tazama Zote

Video

15th Jul, 2024
SERIKALI YAKUTANA NA WAZALISHAJI WA SUKARI NCHINI
30th Jun, 2024
SERIKALI KUWEKA MKAZO WA MAENDELEO VIJIJINI KUPITI...
06th Jun, 2024
PROF. MKUMBO AKITOA UFAFANUZI KUHUSU ZIARA YA MHE....
07th May, 2024
UZINDUZI WA KITUO CHA HUDUMA KWA WAWEKEZAJI
Tazama Zote

Taasisi chini ya Wizara

Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

Ofisi ya Msajili wa Hazina

Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

Tume ya Taifa ya Mipango

Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

Mamlaka ya Uwekezaji na Maeneo Maalumu ya Kiuchumi Tanzania (TISEZA)

Mahali
Wasiliana Nasi
Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji
Mji wa Serikali-Mtumba 1 Barabara ya Ardhi, S.L.P. 104, 40403 DODOMA.
ps@planninginvestment.go.tz
+255 (026) 2962384
Kurasa za Karibu
  • Barua Pepe ya Wafanyakazi

  • Dodoso MKUMBI II

  • Habari

  • PEPMIS

  • Mwongozo wa Mawasiliano kwa Njia ya Video Serikalini

Tufuatilie
Tovuti Mashuhuri
  • Tovuti Kuu ya Serikali

  • Bunge la Tanzania

  • Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania (TPSF)

  • Shirikisho la Wenye Viwanda Tanzania (CTI)

  • Wizara ya Viwanda na Biashara

  • OR-MUUUB

  • PO-RALG

  • Ramani ya Tovuti
  • Sera ya Faragha
  • Vigezo & Masharti
  • Hakimiliki
  • Kanusho
  • Imesanifiwa na Imetengenezwa na Mamlaka ya Serikali Mtandao na Inaendeshwa na WHMTH
    © 2025 Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji, Haki zote zimehifadhiwa.