Tanzania emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

Habari

PROF. MKUMBO ASHIRIKI KIKAO MAALUMU CHA MAWAZIRI WA TANZANIA NA MALAWI KATIKA SEKTA ZA UCHUMI NA UCHUKUZI


Waziri wa Nchi (OR-MU) Mhe. Prof. Kitila Mkumbo (Mb.), alishiriki Kikao maalumu cha Mawaziri wa Tanzania na Malawi wanaoshughulikia Sekta za Uchumi na Uchukuzi kilichofanyika Mei 6, 2025, Jijini Dar es Salaam kujadili maeneo zaidi ya ushirikiano baina ya nchi hizo ili kuimarisha uhusiano wa uwili na kukuza diplomasia ya uchumi.