Tanzania emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

Habari

MHE. PROF. MKUMBO AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA CANADA NCHINI TANZANIA MHE. EMILY BURNS


Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Mhe. Prof. Kitila Alexander Mkumbo (Mb.),  amekutana na Kufanya Mazungumzo na  Mhe. Emilly Burns, Balozi wa Canada nchini Tanzania leo Aprili 25, 2025 Jijini Dodoma.

Pamoja na mambo mengine, Mazungumzo yao yalihusu kuimarisha ushirikiano katika Sekta ya Uwekezaji na Uchumi baina ya mataifa hayo mawili.